NovelToon NovelToon

HIDAYA

Episode 01

kapaku
kapaku
Hello
hidaya
hidaya
Hey..! Mambo vipi kapaku Kwanini Jana ulikimbia?
kapaku
kapaku
Hapana sijakimbia ni muda tu haukuwa rafiki, maisha yenu watoto wa geti kali ni magumu.
hidaya
hidaya
Umeanza maneno yako ya ajabu, Nani geti kali? Please uwage muelewa ni mara ngapi nikutalia maneno ya ajabu na haya maisha ya hovyo ya kujihisi?
kapaku
kapaku
Mmmh... Sahamani hidaya sina maana mbaya kwa maneno yangu, japo....
Kapaku alisita kuendelea kuongea maana alihisi kama Kuna sauti inamwita hidaya kutokea ndani.
Mzeemiyado
Mzeemiyado
Hidaya.. Hidaya Ameenda wapi tena uyu binti?
hidaya
hidaya
Abeee... Abeeeee
hidaya
hidaya
Kapaku sikia ni baba uyu ananiita naomba ondoka nitaku tafuta baadae, Ila acha mambo ya ajabu Bye nakupenda
kapaku
kapaku
Nakupenda pia baadae
Kapaku alishuka toka ukutani na kuondoka mbio kurudi kilingeni
kapaku
kapaku
Daah leo tena nilikuwa nayatimba hapa, uyu mzee atakuja kuniua, kwanini sikomi mimi kufika kwenye jumba lake
hidaya
hidaya
Abeee baba
Mzeemiyado
Mzeemiyado
Nimekuita muda mrefu ulikuwa wapi?
hidaya
hidaya
Nilikuwa nje baba, kwenye bustani Ile ya nyuma nilikuwa na angalia maua yangu na Ile bustani ndogo ya mboga
Mzeemiyado
Mzeemiyado
Sawa hakuna shida mie natoka sitakawia kurudi leo, nimekuita Kuna maagizo ya matata kama atakuja nyuma yangu mwambie anifate, sawa?
hidaya
hidaya
Haya hakuna shida baba nitamwambia,

Episode 02

Mzeemiyado
Mzeemiyado
Kuna jambo halipo sawa, na hidaya Kuna anayoficha ndo binti pekee Ila nitamuonesha
matata
matata
Boss nilipata ujumbe wako Ningependa kujua mabadiliko uliyonipatia
Mzeemiyado
Mzeemiyado
Matata, nenda nyumbani kwangu kazi niku angalia mazingira, mengine tutaongea baadae. Sawa
matata
matata
Sawa, Boss!
hidaya
hidaya
Kama Mzee anasafiri, si ndo nipata muda wa kuwa na kapaku wala ata aje apunguze uoga. Mmmh
hidaya
hidaya
Ngoja ni mtafute shoga kidawa kabla ya yote
Alichukua simu na kumtafuta rafiki yake mwiza
Kriiii Kriiii kriiiii Simu iliita kwa sekunde kadhaa bila majibu Kriiii Kriiii
mwiza
mwiza
Haloooo, shoga Samahani nilikuwa mbali
hidaya
hidaya
Mhh nawe mbali wapi?
mwiza
mwiza
Nilikuwa nawaandalia kina doi chakula apa, mmh niambie chimami
hidaya
hidaya
Mmh Ata ninayakusema mwenzio, nipo na kimuhemuhe tu cha kuwa na kapaku mzee si kaondoka leo nipo mimi
mwiza
mwiza
Wewewe usiniambie
mwiza
mwiza
Ila ngoja kwanza, sidhani kama ni vyema chimami na uyo mzee akimkuta apo
hidaya
hidaya
Yani ndo nawaza
mwiza
mwiza
Mie naona sio busara
hidaya
hidaya
Ni kweli Ila nilitaka, baada ya matata kuondoka
mwiza
mwiza
Matata yupo? Ebu acha usiamini

Nuski

Baada ya mazungumzo yao, mwiza na hidaya haikuwa rahisi kwao kujua nini itakuwa hatima walijisemea kwa kuhisi tu.
matata
matata
Boss ananiweka kwenye majaribu na uyu binti yake, Ata kama ni wivu au mashaka haya yamezidi au ndo uzee?
matata
matata
Binti yake mwenyewe anamuona alivyo kisu uyu, Kuna kijana ata mkwepa kweli au ndo mzee anataka awafukuze kwa mbali ahahahahaha
hidaya
hidaya
Eeenh kumbe umefika muda mrefu matata, mbona haujabisha hodi na geti haikuwa imefungwa kwani?
matata
matata
Sikuona haja ya kugonga mlango, get ilikuwa wazi nikaingia na sikutaka kuja huko ndani hapa pananitosha usijali
hidaya
hidaya
Mmh aya sawa mie nipo kwa ndani, kama utakuwa na neno waweza niita tu
matata
matata
Aanh Sawa usijali, nimepishana tu na mzee acha ni msubiri hapa kidogo, maana anaweza niita nimfate alipo nikiwa ndani nitakusumbua
hidaya
hidaya
Hakuna shida, haya na uo mlango narudisha tu sitoufunga sawa
matata
matata
Sawa..
hidaya
hidaya
Sasa apa nitulie tu nione mchezo utakuwaje uyu amenikata ngembe kabisa yani, kichwa namuwaza kapaku dahh jmn..

Download NovelToon APP on App Store and Google Play

novel PDF download
NovelToon
Step Into A Different WORLD!
Download NovelToon APP on App Store and Google Play